Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro (kushoto mbele)
akifanya mazoezi ya ukakamavu na askari wa kikosi cha kupambana na
uhalifu mkoa wa Lindi baada ya kumaliza ukaguzi wa kikosi hicho akiwa
kwenye ziara yake ya kikazi mkoani humo jana.
Need our help to use our blog or you have a question about Mbongo Channel click Contact us to get more details about Our Media and the information you need.
No comments:
Post a Comment