• Michezo Kimataifa 1/5

    Kiungo wa kati wa Liverpool Phillipe Coutinho ni moto wa kuotea mbali katika lango la Arsenal Mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud atakosa mechi ya Ijumaa pamoja na mechi kadhaa za wakati wa likizo kutokana na jeraha la nyuma ya goti.

  • Bill Clinton na mkewe Hillary Clinton 2/5

    Mshauri mmoja wa mgombea wa urais nchini Marekani Donald Trump ,amesema kuwa mfanyibiashara huyo bilionea huenda akatumia mjadala wa Jumatatu kuzua historia ya uhusiano wa kimapenzi wa Bill Clinton.

  • Waziri wa Ulinzi amewatembelea wanajeshi wa Tanzania nchini DRC 3/4

    Ikiwa zimepita siku 16 tangu kuuawa kwa askari 14 wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) waliokuwa kwenye oparesheni ya ulinzi wa amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Waziri wa Ulinzi wa Tanzania Husssein Mwinyi amewatembelea wanajeshi wa Tanzania waliopo nchini humo.

  • Hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro 4/4

    Kilimanjaro ni miongoni wa vilele virefu vinavyofikika duniani, ni alama kwa wageni wengi kutoka duniani kote yenye kilomita za mraba 1668 (maili za mraba 641), kaskazini mwa Tanzania, karibu na mji wa Moshi wapandaji mlima wengi wanafika katika ukingo wa Kreta kwa kutumia fimbo ya kutembelea, mavazi yanayofaa na nia thabiti.

Nafasi za Ajira Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA)

TCRA Imetangaza nafasi za Ajira kwa watu wenye viwango hivi:- Bachelor’s Degree in Information Technology, Computer Science, Computer Engineering, business information systems, Software engineering, Software Development, or equivalent qualifications from a reputable academic institution; Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 3/1/2018....
Share:

UTAFITI: Kufuga mbwa kunapunguza kwa 36% vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo

Utafiti uliofanywa na wanasayansi nchini Sweden unaonesha kuwa watu wanaofuga mbwa hupunguza hatari ya kifo kutokana na magonjwa ya moyo. Utafiti huo unaonesha kuwa kufuga mpya hupunguza kwa asilimia 36 hatari ya kifo kwa wenye magonjwa ya moyo hususani kwa wanaoishi peke yao. Kwenye nyumba ambazo huishi watu wengi,...
Share:

Watu 22 wahofiwa kufa maji ziwa Tanganyika baada ya boti kugongana

Maafisa nchini Tanzania wanasema karibu watu ishirini na wawili wanahofiwa kufa maji baada ya boti kugongana katika ziwa Tanganyika mapema leo asubuhi. Mashua moja iliyokuwa imebeba takriban watu mia moja na arubaini waliyokuwa safarini kwa shughuli ya kidini iligongana na boti iliyokuwa na watu sitini na watano. Usafiri...
Share:

Bill Clinton na mkewe Hillary Clinton

Mshauri mmoja wa mgombea wa urais nchini Marekani Donald Trump ,amesema kuwa mfanyibiashara huyo bilionea huenda akatumia mjadala wa Jumatatu kuzua historia ya uhusiano wa kimapenzi wa Bill Clinton. Rudy Giuliani amesema kuwa Trump na Hillary wana maswala katika maisha yao ya kibinafsi ambayo ni ya aibu. Alikuwa akijibu...
Share:

MAJANI YA MSTAFELI NI DAWA YA SARATANI YA TEZI DUME KILA MTU AMEKUWA AKIIZUNGUMZIA

MAJANI YA MSTAFELI NI DAWA YA SARATANI YA TEZI DUME KILA MTU AMEKUWA AKIIZUNGUMZIA Majani ya mti wa mstafeli yamekuwa yakitumika na watu kwenye misitu ya amazon kwa maelfu ya miaka iliyopita kutibu karibu kila ugonjwa. Ndiyo hii inaweza kuwa ni habari mpya kwako hasa kama wewe siyo mfuatiliaji wa mambo haya ya tiba...
Share:

Arsenal kulipiza kisasi dhidi ya Liverpool

Mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud atakosa mechi ya Ijumaa pamoja na mechi kadhaa za wakati wa likizo kutokana na jeraha la nyuma ya goti. Francis Coquelin huenda huenda akashiriki katika mechi hiyo licha ya kuguchia katika mechi ya ushindi wa kombe la Carabao huku Shkrodan Mustafi akitarajiwa kushirikishwa...
Share:

Mkenya Victor Wanyama kurudi katika kikosi cha Tottenham

Kiungo wa kati wa Tottenham Victor Wanyama amerudi katika mazoezi kufuatia jeraha la goti na huenda akarudi katika kikosi cha Pochetino kulingana na meneja huyo. Wanyama hajaichezea Spurs tangu timu hiyo ishindwe 2-1 na Chelsea mnamo mwezi Agosti. Okocha amsifu mchezaji wa Kenya Victor Wanyama Pochettino: Mkenya...
Share:

Jeshi la Uganda ladai kuwaua waasi wa ADF DR Congo

Jeshi la Uganda linasemekana kushambulia kambi kadhaa za waasi mashariki mwa Congo. Kwa mjibu wa msemaji wa jeshi la UPDF, shambulio hilo lilifaulu baada ya Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kugawana taarifa za kijasusi. Kwa upande wake, msemaji wa serikali ya DR Congo Richard Karemire, ameviambia vyombo...
Share:

Korea Kaskazini: Marekani inapanga kutekeleza ''uhalifu''

Katika siku ambayo baraza la usalama la Umoja wa mataifa linapiga kura kuidhinisha vikwazo vikali zaidi dhidi ya Korea kaskazini, kiongozi wa taifa hilo, Kim Jong-un, amesema taifa lake linawakilisha tishio kubwa la nyuklia kwa Marekani. Katika hotuba iliyoripotiwa na shirika la utangazaji habari nchini (KCNA)...
Share:

Hukumu ya Lulu: Yapo mengi ya kujifunza

HUKUMU ya Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenda Jela miaka miwili sawa na kumaliza msiba wa marehemu Steven Kanumba, hii ina maana amezikwa tena kifikra, kwa mujibu wa mama yake mzazi Flora Mtegoa. Haki imetendeka hukumu imetolewa ni muda mwingine wa kuangalia yale ambayo yalitokea ili iwe funzo kwetu tuliobaki uraiani...
Share:

Sikujua tumbaku ingegeuka janga kwangu

ALIPOANZA kusokota tumbaku na kuvuta akiwa na umri wa miaka 24, Maine Mshomi aliichukulia kuwa ni kiburudisho. Hakuota abadani kwamba ‘kiburudisho’ hicho kingegeuka janga katika maisha yake. Akiwa sasa na umri wa miaka 55, Mshomi ambaye ni mkazi wa kijiji cha Lugine wilayani Kiteto katika Mkoa wa Manyara, anakumbuka...
Share:

Takukuru, Waziri Dk Philip Mpango waikaba koo Airtel

SIKU moja baada ya Rais John Magufuli kuagiza Kampuni ya Simu ya Airtel kurejeshwa serikalini, Waziri wa Mipango na Uchumi, Dk Philip Mpango ameitisha vikao vya mfululizo kutwa nzima jana ili kuanza kuchunguza suala hilo, kwa lengo la kupata majibu. Katika hatua nyingine, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru)...
Share:

Spika EALA aahirisha bunge kupisha maridhiano

SPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Martin Ngoga amelazimika kusitisha shughuli za Bunge hilo hadi hapo zitakapoitishwa tena baada ya wabunge wa Tanzania na Burundi kutangaza kutomtambua. Ngoga alitangaza kusitishwa kwa shughuli za Bunge hilo jana na kusema hawezi kuruhusu likaendelea kwa hatua za kuchagua...
Share:

Tanzania yawa ya kwanza kutumia taasisi za fedha

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wananchi kujenga tabia ya kujiwekea akiba ya fedha kwenye taasisi za kifedha kwa kuwa ni nguzo muhimu kwa maendeleo yao. Aliyasema hayo jana Dar es Salaam wakati akizindua Mpango wa Pili wa Taifa Huduma Jumuishi za Fedha wa Mwaka 2018 hadi 2022. Alisema katika Mpango wa Kwanza...
Share:

Mnada Mirerani waiingizia Serikali bilioni 2

KAMPUNI ya TanzaniteOne na Shirika la Madini la Taifa (Stamico) wamefanikiwa kuuza madini yenye thamani ya Sh bilioni 1.8 katika mnada uliofanyika kwa mara ya kwanza katika kijiji cha Naisinyai kilichopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Kampuni ya TanzaniteOne na Stamico wameweza kuuza madini hayo kwenye mnada wa...
Share:

Mwimbaji wa Muziki wa injili Rose Mhando aibukia CCM, aomba kadi

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, mwanamziki wa nyimbo za injili nchini Rose Mhando ametumbuiza katika mkutano wa Halmashauri Kuu CCM unaoendelea mjini Dodoma, kisha kuomba kujiunga na chama hicho tawala. Awali Katibu wa Uenezi na Itikadi wa CCM, Humphrey Polepole akimkaribisha jukwaani kutumbuiza, aliwatangazia...
Share:

Mazoezi ya Ukakamavu

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro (kushoto mbele) akifanya mazoezi ya ukakamavu na askari wa kikosi cha kupambana na uhalifu mkoa wa Lindi baada ya kumaliza ukaguzi wa kikosi hicho akiwa kwenye ziara yake ya kikazi mkoani humo ja...
Share:

Ajifungua mapacha wanne Mkoani Morogoro

MWANAMKE Asha Mashaka (27), mkazi wa Msamvu B, Kata ya Kihonda Maghorofani, Manispaa ya Morogoro amejifungua kwa njia ya upasuaji watoto wanne pacha. Kati ya watoto hao, wawili ni wa kike na wawili wa kiume ukiwa ni uzazi wake wa tatu tangu aolewe na Rajab Mkwanda (31), mkazi wa Kilosa Mbuyuni, mkoani Morogoro na...
Share:

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza upandaji miti Usiishie Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza kuwa kampeni ya kupanda na ustawishaji miti isiishie Dodoma mjini tu bali ienee katika Wilaya zote za mkoa wa huo na hatimaye nchi nzima. Makamu wa Rais aliyasema hayo kwenye uzinduzi wa kampeni ya kuufanya mji wa Dodoma kuwa wa...
Share:

Emmanuel Okwi Aitwa Baba

Mshambuliaji wa Simba na timu ya taifa ya Uganda, Emmanuel Okwi amefanikiwa kuwa baba kwa mara nyingine, hiyo ni kutokana na mkewe kujifungua mtoto wa kike. Mtoto huyo ambaye ni wa pili kwa Okwi na mkewe baada ya awali kuwa na mtoto wa kiume, alizaliwa jana Ijumaa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Okwi ametuma...
Share:

Tanzania prison yaigomea Yanga

LICHA ya kucheza pungufu ya mchezaji mmoja, Tanzania Prisons imefanikiwa kupata sare ya ugenini ya kufungana 1-1 na wenyeji, Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Sare hiyo inaifanya Yanga SC iendelee kukamata nafasi ya tatu katika...
Share:

Popular Posts

Followers

Search This Blog

My Blog List

Labels

Contributors